MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Nina mchumba wangu pindi anapofka kwenye hedhi huwa anapata maumivu makali, vichomi,na tumbo kumuuma kiasi cha kukosa hata ham ya kula msaada wenu ni muhimu kwa sababu naamin hakuna jambo litakalo kushnda kama utakuwa na kawaida ya kuwashilikisha watu juu mambo mbalimbali katika ufumbuzi asanteni