hujanielewa ndugu sio kama sisikii utam nausikia tena to the maximum lakini baada ya tendo sikutaki tena labda aje mpya nae ni hivyohivyo
trust me bidada hapo hamna baya lolote kwanza unaondokana na drama nyingi za relationship. enjoy urself bana
hujanielewa ndugu sio kama sisikii utam nausikia tena to the maximum lakini baada ya tendo sikutaki tena labda aje mpya nae ni hivyohivyo
ndo mungu kakubarik ivyo