Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,482
- 14,352
Habari zenu wana Jamii...
Ninasumbuliwa na tatizo la kuumwa na kichwa kwa siku 9 sasa, na mara ya kwanza nilidhani ni malaria ndio inayonisumbua lakini haikuwa nilifanya medical test hospital 3 tofauti lakini sikuwa na tatizo lolote.
Tatizo ambalo nimeligundua sasa ni kwamba nikiongea na simu kichwa kinakuwa kinauma sana... na kutokana na kazi ninazofanya ninapiga na kupokea simu nyingi sana kwa siku(zaidi ya simu 35) na mazungumzo mara nyingi ni zaidi ya dakika 3 mpaka 5, na usiku huwa naongea na simu mpaka masaa mawili na nusu.
Jamani nahitaji msaada ninaweza kukabiliana vipi na hali hii.. au kama kuna tiba yoyote au chakula ninayoweza kutumia ili kuikabili hii hali. maana nikipigiwa simu tu naanza kuchukia hata kupokea..(SIMU ZANGU ZOTE NI ORIGINAL SIO ZA KICHINA). na vilevile natumia sana kompyuta kuanzia saa 3 asbh mpaka 10 jioni na nikirudi hhome nakua na masaa kama mawili hivi ya kutumia kompyuta.
nsaidieni USHAURI, MAWAZO NA MICHANGO YENU
Ninasumbuliwa na tatizo la kuumwa na kichwa kwa siku 9 sasa, na mara ya kwanza nilidhani ni malaria ndio inayonisumbua lakini haikuwa nilifanya medical test hospital 3 tofauti lakini sikuwa na tatizo lolote.
Tatizo ambalo nimeligundua sasa ni kwamba nikiongea na simu kichwa kinakuwa kinauma sana... na kutokana na kazi ninazofanya ninapiga na kupokea simu nyingi sana kwa siku(zaidi ya simu 35) na mazungumzo mara nyingi ni zaidi ya dakika 3 mpaka 5, na usiku huwa naongea na simu mpaka masaa mawili na nusu.
Jamani nahitaji msaada ninaweza kukabiliana vipi na hali hii.. au kama kuna tiba yoyote au chakula ninayoweza kutumia ili kuikabili hii hali. maana nikipigiwa simu tu naanza kuchukia hata kupokea..(SIMU ZANGU ZOTE NI ORIGINAL SIO ZA KICHINA). na vilevile natumia sana kompyuta kuanzia saa 3 asbh mpaka 10 jioni na nikirudi hhome nakua na masaa kama mawili hivi ya kutumia kompyuta.
nsaidieni USHAURI, MAWAZO NA MICHANGO YENU