Kuna rafiki yangu aliacha kazi serikalini tangu mwezi wa 5 huko kigoma ni clinical officer afya sasa akaja dar kufanya kazi kule wakafunga mshahara ila kafanya application upya na kapata mbeya je haita leta madhara atakapoenda kuripoti japo mimi nilimwambia asubiri kwanza hebu wanajamvi wenye uelewa wowote hapa ili nimwambie akaripoti au asiende na kigoma hayupo tayari kurudi hata kwa dawa ushauri tafadhali