Msaada jamani, Nifanyeje ili TV yangu isiwe inashika TBC?

Naombeni msaada kwa hili tatizo nililonalo. Nataka TV yangu isiwe inashika TBC

Ha ha ha Nimesoma mara mbili nikajiuliza huy ni Jane_00 kwani unatumia Startimes, Zuku Tv (nna hisa hapa) Dstv ama ATN???

Tumia zuku ni very affordable ni kama DSTV lakini ipo Africa for more than 60yrs ni cheap sana na kama unataka nyumba yako na we iwe na ungo inawezekana kwa elf 92 tu

 

Ha ha ha Nimesoma mara mbili nikajiuliza huy ni Jane_00 kwani unatumia Startimes, Zuku Tv (nna hisa hapa) Dstv ama ATN???

Tumia zuku ni very affordable ni kama DSTV lakini ipo Africa for more than 60yrs ni cheap sana na kama unataka nyumba yako na we iwe na ungo inawezekana kwa elf 92 tu


hivi naweza kumiliki hiyo zuku bila kuweka dish.....?
 

Ha ha ha Nimesoma mara mbili nikajiuliza huy ni Jane_00 kwani unatumia Startimes, Zuku Tv (nna hisa hapa) Dstv ama ATN???

Tumia zuku ni very affordable ni kama DSTV lakini ipo Africa for more than 60yrs ni cheap sana na kama unataka nyumba yako na we iwe na ungo inawezekana kwa elf 92 tu


lipia hili tangazo mkuu.....hahahahaaaa!!
 

Ha ha ha Nimesoma mara mbili nikajiuliza huy ni Jane_00 kwani unatumia Startimes, Zuku Tv (nna hisa hapa) Dstv ama ATN???

Tumia zuku ni very affordable ni kama DSTV lakini ipo Africa for more than 60yrs ni cheap sana na kama unataka nyumba yako na we iwe na ungo inawezekana kwa elf 92 tu

Du! Inapatikana wapi hiyo mkuu. Inabidi niipate hiyo cz seriously hawa jamaa wanaboa sana since atoke iliko bodi ya mikopa.
 
Naombeni msaada kwa hili tatizo nililonalo. Nataka TV yangu isiwe inashika TBC
kuna option libao, just skip or lock


Ha ha ha Nimesoma mara mbili nikajiuliza huy ni Jane_00 kwani unatumia Startimes, Zuku Tv (nna hisa hapa) Dstv ama ATN???

Tumia zuku ni very affordable ni kama DSTV lakini ipo Africa for more than 60yrs ni cheap sana na kama unataka nyumba yako na we iwe na ungo inawezekana kwa elf 92 tu

elfu arubaini kwa mwezi na hakuna chaneli ya maana
 
Du! Inapatikana wapi hiyo mkuu. Inabidi niipate hiyo cz seriously hawa jamaa wanaboa sana since atoke iliko bodi ya mikopa.

Dear Kimweli..kwa sasa tuna establish ofiice za huduma kwa wateja na mawakala..ila ukifika office za mawakalla kidogo huduma bei ina panda ila kama uko dar si vibaya ukifika Infotech place kawe hapa kwa maelezo zaidi ni Pay Tv inayotoa local products at the highest level..utapenda mkuu
 
Naombeni msaada kwa hili tatizo nililonalo. Nataka TV yangu isiwe inashika TBC

kazi ndogo sana hiyo mkuu ila sema haujafunguka unatumia king'amuzi/receiver au antena??
Kama unatumia receiver ni rahisi wewe idelet tu.

Na kama unatumia antena inabidi useme unatumia tv ya aina gani ili upewe maelekezo kamili juu ya kuizuia.(futa)

 
Kama tv zenu znatatzo la kushika tbc basi jambo dogo sana shekhe wangu iloweke kwenye beseni la maji kama dk.45 nakuhakkshia huta iona tena tbc1 wala tbc fm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom