nina mpenzi wanu alibleed tar 22-4-12 na tukafanya mapenzi tar 29/4,6/5 na 13/5.. (Na tar 20/5 akableed kama kawaida)..na baada ya kubleed tar 27/5 tukadoo kama kawaida. Sasa juzi tar 3/5 akawa anajiskia kuumwa tumbo kiuno na miguu. Nikamwambia aende hospitali wakamwambia apime mkojo kwa sababu malaria alikuwa hana..baada ya kupima mkojo akaambiwa ana ujauzito .. Je? Ndugu zangu kuna ujauzito hapo?