msaada jamani naona nauzwa kabisaaaa

bung'a

Senior Member
May 7, 2012
145
23
nina mpenzi wanu alibleed tar 22-4-12 na tukafanya mapenzi tar 29/4,6/5 na 13/5.. (Na tar 20/5 akableed kama kawaida)..na baada ya kubleed tar 27/5 tukadoo kama kawaida. Sasa juzi tar 3/5 akawa anajiskia kuumwa tumbo kiuno na miguu. Nikamwambia aende hospitali wakamwambia apime mkojo kwa sababu malaria alikuwa hana..baada ya kupima mkojo akaambiwa ana ujauzito .. Je? Ndugu zangu kuna ujauzito hapo?
 
si yako!mimba angepata baada ya siku 9-16 tangu aanze bleed.ila nakushauri ubebee tuu mzigo alikua anategea ili umuoe
 
sasa kama alikua anablid tatizo lipi? She might be true, and thats your pregnant cha msingi ujue ni ya muda gani, WAPO WANAOBEBA MIMBA WAKATI na HUKU WANABLEED, WATAALAM NA MADOKTA WAUKWEL WATASAPOT HILI, NA KAMA PIA MLIDO CKU YA 8 KAMA MZUNGUKO WAKE NI MFUPI CKU 26 UWEZEKANO WA MIMBA PIA UPO TENA MOSTLY NI BEB BOY!
 
sasa kama alikua anablid tatizo lipi? She might be true, and thats your pregnant cha msingi ujue ni ya muda gani, WAPO WANAOBEBA MIMBA WAKATI na HUKU WANABLEED, WATAALAM NA MADOKTA WAUKWEL WATASAPOT HILI, NA KAMA PIA MLIDO CKU YA 8 KAMA MZUNGUKO WAKE NI MFUPI CKU 26 UWEZEKANO WA MIMBA PIA UPO TENA MOSTLY NI BEB BOY!
asante ntalifanyia kazi
 
asante ntalifanyia kazi

Nashukuru umemuelewa Kilahunja.
Alichosema ni kweli,tena kuna wanawake wanaona damu hata mimba ikiwa kubwa.
New life in the making raha iliyoje,glory be to our creator.
Navopenda watoto akizaliwa baby sitter wa bure niko hapa lol
 
Last edited by a moderator:
nina mpenzi wanu alibleed tar 22-4-12 na tukafanya mapenzi tar 29/4,6/5 na 13/5.. (Na tar 20/5 akableed kama kawaida)..na baada ya kubleed tar 27/5 tukadoo kama kawaida. Sasa juzi tar 3/5 akawa anajiskia kuumwa tumbo kiuno na miguu. Nikamwambia aende hospitali wakamwambia apime mkojo kwa sababu malaria alikuwa hana..baada ya kupima mkojo akaambiwa ana ujauzito .. Je? Ndugu zangu kuna ujauzito hapo?

kwanz nimependa staili yako ya kufanya mapenzi kila j,mosi, hlf pia inawezekana hiyo ni mimba yako mkuu, maaana hizo ni dalili za wiki ya kwanza mimba
 
Mzunguko wake unaonesha ni siku 29, kwa siku hizo mlizo-do mh nina mashaka kweli kweli!
 
Back
Top Bottom