Nashukuru mkuu huko kote nshafika na nilitafuta sana hizo key zenyewe lakini hawa maUploader ni wajanja wanataka uDownlod setup nzima ikiwa attached with key. Sasa nitachofanya ni kununua bundle zingine nivute hiyo file nzima nikopi hizo key na niDelete hiyo setup cause yaweza kuwa affected
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.