Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Mheshimiwa waziri mkuu kwa niaba ya wananchi ninaomba utupe msaada wako katika kutatua utata na mkanganyiko uliopo hapa.
Kulitokea mitazamo tofauti kuhusu Zanzibar kama ni nchi au si nchi? Mpaka leo kuna watu hatujajua msimamo halali na dhabiti.
Kwa leo utata na mkanganyiko huko hapa. JE TANZANIA BARA NI NCHI?
Mkuu tunaomba ufafanuzi ili kuweza kumaliza kabisa KIU hii ya kutaka kujua kwani kila siku tunasikia miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara.
Kulitokea mitazamo tofauti kuhusu Zanzibar kama ni nchi au si nchi? Mpaka leo kuna watu hatujajua msimamo halali na dhabiti.
Kwa leo utata na mkanganyiko huko hapa. JE TANZANIA BARA NI NCHI?
Mkuu tunaomba ufafanuzi ili kuweza kumaliza kabisa KIU hii ya kutaka kujua kwani kila siku tunasikia miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara.