mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Jumatatu niliweka pesa kwenye account yangu ya M-pesa Tsh. 150,000/= ila sikupata meseji kwamba nimeongezewa pesa na huyo wakala, nilipomwambia sijapata Msg akaniambia yeye amepata hivyo niangalie salio langu, kweli nilipoangalia nikakuta hela imeongezeka, lakini sikupata msg ile inayotaja jina la wakala na kiasi nilicho ongeza...Leo nilipotaka kutoa pesa ndo nikashtuka kwamba pesa yote ile 150K niliyoiweka haipo.! Naombeni msaada kama naweza kupata Pesa zangu na kwa njia gani