Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Nauguliwa na mtoto wa mwaka mmoja na miezi mitatu, anatapika na kuharisha kila akipewa chakula tangu juzi. Nilimpeleka jana kwa dr Koya pale Lumumba wakampa dawa lakini sioni nafuu yoyote na dawa amemaliza!