jamani ndugu zangu naomba mtu mwenye contact ya chuo cha ustawi wa jamii cha DSM anisaidie maana nimeangaika kwenye google bila mafanikio.nakama unajua qualification zao pamoja na muda wa maombi nijulishe.Asanteni.
Jamani,upo Dar au nje ya Dar? Km upo ndani ya Dar tafuta muda uende chuoni ukaulizie kila kitu au tuma mtu akakufanyie hyo kazi na sio kila kitu kwenye mitandao!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.