inaniambia ni-unlock ili niweze tumia sim card za huku bongo but shida ni kwamba hakuna program ya kui-unlock hadi sasa yani ya hyo IOS6
Mkuu hapo ni Kama vile kupigwa ban subiri baada ya miezi miwili jailbreak itatoka nenda kanunue simu inayotumia android wakati unasubirindo hvyo nishafanya kwa bahati mbaya....so nitafanyaje ili kuepuka tatizo??
thanx kakaJaribu kudowngrade kwenda ios 5 (How to Downgrade Back to iOS 5 | Mac|Life)