mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
Guys A.A, Laptop yangu (Sony vaio) iliingia maji, nikaipelekeka kwa fundi akaikausha na ikawa ukiiwasha inawaka vizuri sema kioo hakionyeshi Mwanga japo screen ina display but without light,,,Fundi akanambia inahitajika inverter mpya, So wap naweza kupata msaada wa hichi kifaa ndugu