viatu vyako vyacheza????
unanena kwa lugha?!Kwani ikisha lia na kutoa chozi si inalala
mi hiyo ndo nasikia leo.....
ok utaichapa na nini? teh teh teh
mi hiyo ndo nasikia leo.....
ahhhhh kaka kunaNa kuna watu wanaitwa MASHAROBARO.........Ndio jina jipya la mashoga nini?
Afadhali umeweka hii avatar yako, ile ya zamani mmmmh........!!!!!
hee shukran ndio zawadi yangu hiyo??ngoja nikaifungulie chumbani baasi....
hahahahah lol Bacha umeanza mapema hivi dear mmmmhhh
haya bwana hiyo ni ya leo tu kesho nyingine...
vipi mambo lakini???
umetuandalia nini mwaka huu??
lol.. nina mambo mengi tu mama, ntakushirikisha usijali!
Ulitubania sana kuiona sura yako, kumbe mrembo hivi lol...
Naona mwaka umeanza vizuri dear!!!!!!!