jamani nataka kujifunza hii kitu mana huwa naiona ona tu, naombeni mnisaidie namna ntavyoweza kujifunza ili niweze kuitumia, pia kama kuna link yenye vitabu vyake niweze kudownload. Nashukuru sana na nategemea msaada wenu
tindikalikali, HTML and what you have mentioned..niaviona ona hivi vitu pia .... pls in one sentence niambie what are those dudes ....???mkuu huwa unaiona ona wapi? html kama html haitakusaidia, kwa kuanza search "html for beginners", utaweza kujifunza codes mbalimbali...then endelea mbele zaidi, jifunze XML,PHP, CMS na CSS
tindikalikali, HTML and what you have mentioned..niaviona ona hivi vitu pia .... pls in one sentence niambie what are those dudes ....???
jamani nataka kujifunza hii kitu mana huwa naiona ona tu, naombeni mnisaidie namna ntavyoweza kujifunza ili niweze kuitumia, pia kama kuna link yenye vitabu vyake niweze kudownload. Nashukuru sana na nategemea msaada wenu
<html>
.
.
.
endelea kinachofata taratibu utajua
umekosa<body> haya mdogo mdogo
Usikalili sio lazima uanzie na neno HTML inategemea unataka kufanya nini. Usimkalilishe.<html>
.
.
.
endelea kinachofata taratibu utajua
kwaio kwa beginner unaanzaje au we ndo umekariri??Usikalili sio lazima uanzie na neno HTML inategemea unataka kufanya nini. Usimkalilishe.
Oya unatakiwa umuelekeze HTM ni nini kwanza na aelewe.kwaio kwa beginner unaanzaje au we ndo umekariri??