Micro E coli
JF-Expert Member
- Oct 31, 2011
- 938
- 192
Msaada wakuu nina HTC chacha A810e imezimika baada ya kudownload new version ya facebook ya android nimejaribu kutoa bettery nakurudisha imegoma kabisa lakini taa ya charge inawaka nikichomeka kwenye charge mwenye utaalamu ya haya mambo anisaidia kwa mawazo au mahali ambapo naweza kupata msaada wa kuirejesha simu hii on amasijui ndio imekorapte au ndio imeungua sijui mwenye ujuzi anijuze au anielekeze mahali ambapo nitapata msaada hapa Dar.