Mnwele
Senior Member
- Feb 4, 2010
- 162
- 100
Wadau, msaada tutani
Nina mkoko wangu umekuja na radio but with limited frequencies. Yaani kwa hapa kwetu naweza kupata radio zilizopo kwenye frequencies kuanzia 76 hadi 90 tu
Nakosa raha kwani niko na limited choices na kama mjuavyo kuna baadhi ya Radio sasa hazisikiliziki maana zimeshika hatamu.
Naomba msaada tafadhali
Nina mkoko wangu umekuja na radio but with limited frequencies. Yaani kwa hapa kwetu naweza kupata radio zilizopo kwenye frequencies kuanzia 76 hadi 90 tu
Nakosa raha kwani niko na limited choices na kama mjuavyo kuna baadhi ya Radio sasa hazisikiliziki maana zimeshika hatamu.
Naomba msaada tafadhali