Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Namnani ya Sinza je? :A S wink:
hahaa nayo poa sana....
Namnani ya Sinza je? :A S wink:
lakini wewe mbona kama nanihii, siyo wewe nanihiii wewe bingwa wa mi-aidiiiiintakutafuta inshallah na ikikaribia safari ntakujulisha mi sina tabu!!
lakini wewe mbona kama nanihii, siyo wewe nanihiii wewe bingwa wa mi-aidiiiii
mi sizijui za huko tz..hebu tungojee nikipata na mie nahitaji nikija nifkizie hotel za huko,
Preta huyu jamaa anatakiwa aje AR aende na mbugani, hali ya hewa safi. Sasa hili joto la Dar hapa na huu umeme wetu ukikatika.......hatajamani tuache masihara tumsaidie jamaa ajipumzishe na barafu wake wa moyo........kuna moja inaitwa wanyama hotel ipo dar......hebu nyie wadarisalama tupeni details.....inaweza kumfaa ndugu yetu huyu
Kipipili....unajua hotel yenye mambo ya honeymoon iliyoko beach?
Mashallah habibie, waja lini bongo, nitafute bibie, wallaahi hutatoka tena TZ, ww ukija ni PM, wakaribishwa sana, ww ushaolewa Nilham? mie bado ukinikubalia tutakula honeymoon, earthmoon & sunmoon, hatubakizi kitu malkia hadi creammoon, take this song Secret lovers & every breath you take, see u
oooops!!! i still wait 4 the one who will b my king of da world and i will b his queen of da world ..
Mashallah habibie, waja lini bongo, nitafute bibie, wallaahi hutatoka tena TZ, ww ukija ni PM, wakaribishwa sana, ww ushaolewa Nilham? mie bado ukinikubalia tutakula honeymoon, earthmoon & sunmoon, hatubakizi kitu malkia hadi creammoon, take this song Secret lovers & every breath you take, see u
mwee....JF ni kila kitu hakyanani
ndio najionea kumbe ndio kulivyooo???
:A S 101::yo:
:A S 114::A S 114::sorry::A S tongue::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S kiss:
hapa utaona mengi dear......uwe tu mvumilivu....karibu sana
nakusoma kwa mbaaaaali.......ila nashangilia in advanceeace:
kwa ajili ya marose na malips???ukashangilia???i still think about:A S 101::yo: