Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Nina rafiki yangu tuko wote hapa chuoni, amenijia ako na tatizo linamtatiza na anahtaji ushauri.
Tatizo: Alikuwa na mwanaume ambae walikaa ktk uhusiano kwa mwaka na miezi km minne hv. Ktk kipindi hicho walikuwa wanagombana na kupatana km ilivyo ada ya wapendanao. Mwezi February mpenzie alikuja kumtembelea pia ikiwa ni kuja kusuluhisha ugomvi uliokuwa baina yao. Anasema walisuluhisha then walifanya mapenzi ila cku chache bdae aliamua kuachana jumla na yule kaka maana mambo yalirudi kuwa worse. Sasa baada ya kuachana na yule kaka jambo moja limetokea, she is pregnant! Anafikiria kumwambia yule kaka lakini hana pa kuanzia kwani kuna mambo mengi yalijitokeza walipoachana. Yule kaka alimtumia msg za kumkashfu huyu dada akimwambia yeye dada ni kichaa na ni muuaji wa wanaume. Yule dada nae alimpasha yule kaka kwa kuwa weak, irresponsible and betrayer. Sasa amenijia anataka nimpe ushauri, kwanza anataka amuambie yule kaka, pia anapanga autoe ujauzito. Mimi km mimi nimepima maji kwa kweli ni marefu kwamba
1. That guy hampendi yule dada so
2. Anaweza kuikataa mimba kwa vile walishatengana na pia
3. Abortion ni hatari na dhambi juu ya dhambi.
So nimebaki ktk dilema nimshauri lipi ili bdae nisibebe mzigo wa lawama?
Najua hapa MMU kuna watu wenye upeo mkubwa so nitapata mawazo tofauti tofauti toka kwenu! KARIBUNI kuchangia.
Tatizo: Alikuwa na mwanaume ambae walikaa ktk uhusiano kwa mwaka na miezi km minne hv. Ktk kipindi hicho walikuwa wanagombana na kupatana km ilivyo ada ya wapendanao. Mwezi February mpenzie alikuja kumtembelea pia ikiwa ni kuja kusuluhisha ugomvi uliokuwa baina yao. Anasema walisuluhisha then walifanya mapenzi ila cku chache bdae aliamua kuachana jumla na yule kaka maana mambo yalirudi kuwa worse. Sasa baada ya kuachana na yule kaka jambo moja limetokea, she is pregnant! Anafikiria kumwambia yule kaka lakini hana pa kuanzia kwani kuna mambo mengi yalijitokeza walipoachana. Yule kaka alimtumia msg za kumkashfu huyu dada akimwambia yeye dada ni kichaa na ni muuaji wa wanaume. Yule dada nae alimpasha yule kaka kwa kuwa weak, irresponsible and betrayer. Sasa amenijia anataka nimpe ushauri, kwanza anataka amuambie yule kaka, pia anapanga autoe ujauzito. Mimi km mimi nimepima maji kwa kweli ni marefu kwamba
1. That guy hampendi yule dada so
2. Anaweza kuikataa mimba kwa vile walishatengana na pia
3. Abortion ni hatari na dhambi juu ya dhambi.
So nimebaki ktk dilema nimshauri lipi ili bdae nisibebe mzigo wa lawama?
Najua hapa MMU kuna watu wenye upeo mkubwa so nitapata mawazo tofauti tofauti toka kwenu! KARIBUNI kuchangia.