Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Naomba msaada wa kueleweshwa gharama za umeme (Electricity Tariffs).
Nimejaribu kupitia jedwali hapa chini lakini sijaelewa.
i.e viwango vilivyowekwa ni kwa muda gani ?
mtu anayetumia wastani wa 150 kwh kwa mwezi anakuwa kundi gani ?
Tariffs ni hizi hapa:
Electricity Charges
Ukitoa msaada wa kuelewesha utakuwa umetusaidia wengi tunaohangaika na bili za tanesco Natanguliza shukrani
Nimejaribu kupitia jedwali hapa chini lakini sijaelewa.
i.e viwango vilivyowekwa ni kwa muda gani ?
mtu anayetumia wastani wa 150 kwh kwa mwezi anakuwa kundi gani ?
Tariffs ni hizi hapa:
Electricity Charges
Ukitoa msaada wa kuelewesha utakuwa umetusaidia wengi tunaohangaika na bili za tanesco Natanguliza shukrani