Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Kwa wale walioko nyumbani ambao wako kwenye fani ya ujenzi au kwa wale wenye uzoefu na shughuli za ujenzi. Tafadhali ninaomba makadirio ya ukarabati ufuatao:
Any help would be greatly appreciated.Ninajaribu kufanya makadio ya ukarabati wa nyumba moja utagharimu kiasi gani. Na kuweza kufanya hivyo, nitahitaji kujua bei ya materials na labor.
Mfano:
Nyumba (ya matofali) yenye 1600 square meter ina matatizo yafuatayo:
- Sehemu ya bati imechakaa, ina kutu, na inavuja.
- Haija sakafiwa
- Kuta hazisawazishwa na kupakwa rangi
- Hamna choo na bafu la ndani
- Maji hayajavutwa ndani
- Madirisha hayana net ya kuzuia mbu
Ninahitaji kujua makadirio ya gharama yatakayowezesha matatizo yote hapo juu kutatuliwa. Ninatafuta gharama za materials na labor.
Kwa haraka haraka nitahitaji bei za materials yafuatayo (katika Tshs.)
Kuweka bati mpya
Kuweka Ceiling board
- Bati moja
- Mbao moja ya kushikizia bati
- Misumari ya bati (kilo 1)
Sakafu na kuta
- Ceiling board per square meter
- Mbao za kuunganishia (??)
- Gundi ya kuunganishia (??)
Choo na bafu
- Mchanga lori moja
- Seruji mfuko mmoja
- Rangi ndoo moja (maji na mafuta)
- Kokoto lori moja (??)
Maji
- Bomba la choo la kupitishia ushafu
- Kiti cha choo
- Sink la kufurashi
- bomba la kuogea
- Sink la kuogea
Madirisha
- Gharama za kuvuta maji
Na mwisho kabisa, kadirio la gharama ya labor kwa kufanya kazi yote hiyo.
- Bei ya dirisha moja na neti yake