danjaboy
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 236
- 401
Samahani wadau naombeni mnijuze gharama za kutalii mbuga za wanyama,kwa mbuga za manyara,mikumi na serengeti ama ambaye anajua ipi ni nzuri kuanzia huduma,pia gharama za viingilio,huduma za vyumba vya kulala,vyakula,pawe ni sehem nzuri kwa ajili honeymoon kwa sababu tunatarajia kwenda huko kupumzika na wife baada ya ndoa
Asanteni
Asanteni