Kaka jaribu kuangalia CANADA ile ya Kifaransa kule niliona jana online kuwa ada kule ni bei rahisi, sasa sijuhi kasma unaweza kupata chuo cha kiingereza huko kwani wao huwa wanjifanay ni wafaransa.
try malaysia,indonesia,singapore,,,,ni kama 3000U$D,kwa course ambazo hazihitaji fieldwork kubwa hasa za arts na social sciences,ila kumbuka kuna expenses kibao ili kwenda huko...nakushauri utembelee balozi za hizo nchi,utapewa taarifa zaidi.
try malaysia,indonesia,singapore,,,,ni kama 3000U$D,kwa course ambazo hazihitaji fieldwork kubwa hasa za arts na social sciences,ila kumbuka kuna expenses kibao ili kwenda huko...nakushauri utembelee balozi za hizo nchi,utapewa taarifa zaidi.
malaysia,singapore hizi nchi zinaendelea kwa kasi ya ajabu, fedha zao zimetengemaa sana siku hizi na hawatumii foreign currency, fees malaysia si chini ya usd 5000, accommodation, chakula etc total si chini ya usd 10,000 kwa mwaka. Singapore ni moja kati ya most expensive cities in the world.. kwa mwaka utahitaji si chini ya usd 20,000
kijana kama unajisomesha bora soma bongo balance itakayobaki uwe na kibiashara. Au tafuta scholarship. Nakushauri usipoteze pesa yako yote eti unatafuta MBA nje! labda kama ni fani ambayo haipo TZ na una uhakika ukirudi utapata kazi. MBA za kumwaga bongo siyo deal tena. Na MBA ni too general hasa kwa fresh graduate msaada wake ni mdogo kwenye soko la ajira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.