oxlade
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 601
- 94
jamani naomba mnipe msaada wa namna ya kudownload games haswa GTA na FIFA, nimejaribu kwa torrent nimeshndwa, natumia window xp, 2.99 processor, 1gb ram
au kama kuna msamalia mwema anaweza kunipatia hzo game aniambie nimfate kokote jamani.
Help me wandugu.
au kama kuna msamalia mwema anaweza kunipatia hzo game aniambie nimfate kokote jamani.
Help me wandugu.