KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wanajf wenzangu mambo vp?.Naombeni msaada kwa anayefahamu ni vifaa gani vinavyotakiwa ili niweze kufanya biashara ya kusambaza cable. Hitaji langu ni kuwa na chaneli zisizopungua 20 na umbali nitakaosambaza ni km 2.Tafadhali kwa aliye na uzoefu wa maswala hayo aniorodheshee vifaa hivyo.