Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
JF
TV yangu imekata star tv kwa wa zaidi ya miezi miwili sasa nimewahi kusikia eti wamebadilisha frequency na hilo ndio linalo sababisha nikose.
mwenye frequency naomba anisaidie pia anisadie jinsi yakuziinstaa/kuziweka kwenye receiver ili niweze kupata star tv.
Nipo Korogwe, Tanga
natumia receiver ya mediaCom MFT - 930Plus
Asante
TV yangu imekata star tv kwa wa zaidi ya miezi miwili sasa nimewahi kusikia eti wamebadilisha frequency na hilo ndio linalo sababisha nikose.
mwenye frequency naomba anisaidie pia anisadie jinsi yakuziinstaa/kuziweka kwenye receiver ili niweze kupata star tv.
Nipo Korogwe, Tanga
natumia receiver ya mediaCom MFT - 930Plus
Asante