Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Natumia Window xp,
iligoma kufanya kazi kwa siku nzima ,nikaamua ku-repair kwa kutumia CD na ikafanikiwa kuirejesha kwenye hali yake.
Lakini pamoja na programme zote kuwepo lakini mafaili yote yaliyokuwa kwenye My Doc,Destop nk yamefutika kabisa.
Lakini nikitazama ukubwa wa hard disc naona bado inaoonesha kuwa kuna nafasi iliyokuwemo kabla ya kazi hiyo,hali inayoonesha kuwa mafail yake uenda labda yapo sehemu fulani.
Je nawezaje kuyapata,mengine ni ya video,yanaukubwa wa 140 GB
Nifanye nini,je programme ya Recover my file inaweza kuyatafuta,naipataje
Nisaidie wakubwa
iligoma kufanya kazi kwa siku nzima ,nikaamua ku-repair kwa kutumia CD na ikafanikiwa kuirejesha kwenye hali yake.
Lakini pamoja na programme zote kuwepo lakini mafaili yote yaliyokuwa kwenye My Doc,Destop nk yamefutika kabisa.
Lakini nikitazama ukubwa wa hard disc naona bado inaoonesha kuwa kuna nafasi iliyokuwemo kabla ya kazi hiyo,hali inayoonesha kuwa mafail yake uenda labda yapo sehemu fulani.
Je nawezaje kuyapata,mengine ni ya video,yanaukubwa wa 140 GB
Nifanye nini,je programme ya Recover my file inaweza kuyatafuta,naipataje
Nisaidie wakubwa