Msaada ENTRY GATE Julius Nyerere airport

sikiolakufa

JF-Expert Member
Feb 1, 2010
411
54
Wakuu naomba msaada nataka kujua system ya kuingia Julius Nyerere Airport kwa gari nasikia gate lao ni electronic,je unafanyaje ili lifunguke? unalipia wapi au kuna button unabonjeza? naomba msaada kwa yeyote anayejua
 
Je ni kiwango gani cha pesa wanatoza? nitakuwa na mgeni kutoka ng'ambo sitaki kuaibika
 
Kama unasindikiza au kupokea mgeni utafahamishwa,napoingia unakuta boom gate upande wa kulia utaona button ya kubonyeza ambayo itakupa ticket halafu boom itakuruhusu kupita kuelekea parking. Gharama kwa muda uliokaa ndani ya airport utalipa ktk kibanda kabla ya kuchukua gari yako ambapo utapewa tiket ambayo itakusaidia kufungua boom ya gate la kutokea, wakati mwingine utakuta askari atakufungulia manual baada ya kuonyesha ticket yako.
 
Hehheheheheheh!!!.....haya bana ukifika kwenye Entrance gate mkono wako wa kulia utaona kimashine fulani na kuna buttona ya kubonyeza na utaibonyeza hiyo na ticket itatoka na geti litafunguka lenyewe, huna haja ya kushuka kwenye utabonyeza hiyo button ukiwa ndani ya gari.

Kisha utaenda kupaki gari yako kwenye parking, baada ya kumaliza mambo yako kuna kibanda kipo upande zilipo parking, utalipia pesa kwa kuwapa ile ticket na utapewa risiti ni shillingi 500 per hour.

kwenye Exit gate utapenyeza ile ticket uliyopewa kwenye Entrance gate na gate litafunguka lenyewe au wakati mwingine kunakuwa na wafanyakazi wanakusanya ticket kwa mkono na wanafunguwa geti wenyewe, kama hujui Wabongo kazi na dawa hapo ndio muda wale wanaopakigi magari yao masaa mengi unawapa vijana shilling1000 unapita.
 
Kama unasindikiza au kupokea mgeni utafahamishwa,napoingia unakuta boom gate upande wa kulia utaona button ya kubonyeza ambayo itakupa ticket halafu boom itakuruhusu kupita kuelekea parking. Gharama kwa muda uliokaa ndani ya airport utalipa ktk kibanda kabla ya kuchukua gari yako ambapo utapewa tiket ambayo itakusaidia kufungua boom ya gate la kutokea, wakati mwingine utakuta askari atakufungulia manual baada ya kuonyesha ticket yako.


Yaani distazo nakushukuru sana sana ndugu yangu....
 
Hehheheheheheh!!!.....haya bana ukifika kwenye Entrance gate mkono wako wa kulia utaona kimashine fulani na kuna buttona ya kubonyeza na utaibonyeza hiyo na ticket itatoka na geti litafunguka lenyewe, huna haja ya kushuka kwenye utabonyeza hiyo button ukiwa ndani ya gari.

Kisha utaenda kupaki gari yako kwenye parking, baada ya kumaliza mambo yako kuna kibanda kipo upande zilipo parking, utalipia pesa kwa kuwapa ile ticket na utapewa risiti ni shillingi 500 per hour.
kwenye Exit gate utapenyeza ile ticket uliyopewa kwenye Entrance gate na gate litafunguka lenyewe au wakati mwingine kunakuwa na wafanyakazi wanakusanya ticket kwa mkono na wanafunguwa geti wenyewe, kama hujui Wabongo kazi na dawa hapo ndio muda wale wanaopakigi magari yao masaa mengi unawapa vijana shilling1000 unapita.


Mkuu matola umenikuna...hapo unaposema kazi na dawa unamaanisha nini? vijana gani niwape elf moja? maana mimi nakwenda kumpokea rafiki yangu wa kizungu wa jinsia ya kike anakuja kunitembelea sijaingia pale siku nyingi....je ule wizi mdogo mdogo haupo?
 
Hehheheheheheh!!!.....haya bana ukifika kwenye Entrance gate mkono wako wa kulia utaona kimashine fulani na kuna buttona ya kubonyeza na utaibonyeza hiyo na ticket itatoka na geti litafunguka lenyewe, huna haja ya kushuka kwenye utabonyeza hiyo button ukiwa ndani ya gari.

Kisha utaenda kupaki gari yako kwenye parking, baada ya kumaliza mambo yako kuna kibanda kipo upande zilipo parking, utalipia pesa kwa kuwapa ile ticket na utapewa risiti ni shillingi 500 per hour.

kwenye Exit gate utapenyeza ile ticket uliyopewa kwenye Entrance gate na gate litafunguka lenyewe au wakati mwingine kunakuwa na wafanyakazi wanakusanya ticket kwa mkono na wanafunguwa geti wenyewe, kama hujui Wabongo kazi na dawa hapo ndio muda wale wanaopakigi magari yao masaa mengi unawapa vijana shilling1000 unapita.

Hapo kwenye nyekundu nimeshangazwa juzi mkuu... sasa hivi ni Buku sio jero tena!!!
 
Hehheheheheheh!!!.....haya bana ukifika kwenye Entrance gate mkono wako wa kulia utaona kimashine fulani na kuna buttona ya kubonyeza na utaibonyeza hiyo na ticket itatoka na geti litafunguka lenyewe, huna haja ya kushuka kwenye utabonyeza hiyo button ukiwa ndani ya gari.

Kisha utaenda kupaki gari yako kwenye parking, baada ya kumaliza mambo yako kuna kibanda kipo upande zilipo parking, utalipia pesa kwa kuwapa ile ticket na utapewa risiti ni shillingi 500 per hour.

kwenye Exit gate utapenyeza ile ticket uliyopewa kwenye Entrance gate na gate litafunguka lenyewe au wakati mwingine kunakuwa na wafanyakazi wanakusanya ticket kwa mkono na wanafunguwa geti wenyewe, kama hujui Wabongo kazi na dawa hapo ndio muda wale wanaopakigi magari yao masaa mengi unawapa vijana shilling1000 unapita.

mkuu unasiku nyingi hujapita njia hiyo!!!!ni 1000 per hour!
 
Hehheheheheheh!!!.....haya bana ukifika kwenye Entrance gate mkono wako wa kulia utaona kimashine fulani na kuna buttona ya kubonyeza na utaibonyeza hiyo na ticket itatoka na geti litafunguka lenyewe, huna haja ya kushuka kwenye utabonyeza hiyo button ukiwa ndani ya gari.

Kisha utaenda kupaki gari yako kwenye parking, baada ya kumaliza mambo yako kuna kibanda kipo upande zilipo parking, utalipia pesa kwa kuwapa ile ticket na utapewa risiti ni shillingi 500 per hour.

kwenye Exit gate utapenyeza ile ticket uliyopewa kwenye Entrance gate na gate litafunguka lenyewe au wakati mwingine kunakuwa na wafanyakazi wanakusanya ticket kwa mkono na wanafunguwa geti wenyewe, kama hujui Wabongo kazi na dawa hapo ndio muda wale wanaopakigi magari yao masaa mengi unawapa vijana shilling1000 unapita.

Hapo kwenye nyekundu"hii inaitwa rushwa au ufisadi? kwanini tunakubali kuibia taifa mchana kweupee? huu uwanja ni wa taifa la Tanzania na sio mali ya mtu binafsi, nitalifanyia kazi suala hili, mtasikia kwenye bomba.
 
Ishu nyingine nitamtambuaje mgeni wangu maana hatujawahi kuonana....nafikiri nitavaa nguo yenye rangi kali( crazy colour) ili iwe rahisi kwa yeye kunitambua ni binti wa kizungu
 
Ishu nyingine nitamtambuaje mgeni wangu maana hatujawahi kuonana....nafikiri nitavaa nguo yenye rangi kali( crazy colour) ili iwe rahisi kwa yeye kunitambua ni binti wa kizungu
Mwanzo linidhani unahitaji msaada kumbe nia yako tujuwe kuna demu wa Kidhungu anakuja na wewe ndio umetumwa kumpokea!! wahaya bwana!!

Haya fanya hivi, kata kipande cha box kikubwa halafu andika jina lake kwa maker pen na usimame mstari wa mbele passenger wa KLM wanaposhuka Mzungu wako ataliona jina lake atakufuata yeye mwenyewe na atakukumbatia na usiogope na wewe kumu hag
 
Mwanzo linidhani unahitaji msaada kumbe nia yako tujuwe kuna demu wa Kidhungu anakuja na wewe ndio umetumwa kumpokea!! wahaya bwana!!

Haya fanya hivi, kata kipande cha box kikubwa halafu andika jina lake kwa maker pen na usimame mstari wa mbele passenger wa KLM wanaposhuka Mzungu wako ataliona jina lake atakufuata yeye mwenyewe na atakukumbatia na usiogope na wewe kumu hag
hahahahahaahh my ribs mkuu hahahhahaahahhaahha..........hivi hawa wahaya mbona wanapenda sana kujikweza? hahahahha
 
Ishu nyingine nitamtambuaje mgeni wangu maana hatujawahi kuonana....nafikiri nitavaa nguo yenye rangi kali( crazy colour) ili iwe rahisi kwa yeye kunitambua ni binti wa kizungu


Andika Jina lake kwenye karatasi kisha utalishika kama bango
 
Back
Top Bottom