sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Wakuu naomba msaada nataka kujua system ya kuingia Julius Nyerere Airport kwa gari nasikia gate lao ni electronic,je unafanyaje ili lifunguke? unalipia wapi au kuna button unabonjeza? naomba msaada kwa yeyote anayejua