Apta Kayla
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 324
- 71
Heshima kwenu wakuu. Nina tatizo laptop {Notbuk} yangu aina ya Accer eMachines model eM350 nikicharge ikifika 87% haiendelei tena kuingia charge hata kama nitaiacha kwenye charger kwa masaa 3 au zaidi. Je tatizo ni nini? Thanx in advance