Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
habari za asubuhi wanajf naombeni msaadaa wenu ktk hili nimewasha dstv nyumbani sasa kitu cha ajabu haiscan ipo tu kama vile imestack
kwa maana kwamba vile invyoandika number of public bouquest,number of public operators number of tv channels,radio services zote zinasoma zero(0) please mwenye uelewa juu ya hili naomba anifahamishe nini cah kufanya nimeirestart ila bado bilabila
kwa maana kwamba vile invyoandika number of public bouquest,number of public operators number of tv channels,radio services zote zinasoma zero(0) please mwenye uelewa juu ya hili naomba anifahamishe nini cah kufanya nimeirestart ila bado bilabila