Mods tafadhali najua hapa si mahali pake lakini naomba muiache kidogo walau isomwe na wengi maana jukwaa hili ndilo linapitiwa na wanachama wengi zaidi.
Kwa sasa niko schengen huku nafanya kakozi fulani sasa nataka kwenda Tanzania december kwa xmas.Hapa nilipo the cheapest flight ina cost kama USD 1200 round trip.Sasa nilikuwa naomba kama kuna mtu ambaye kule anakoishi(schengen) kuna ndege za bei nafuu kidogo lets say less than 1000USD basi anijulishe.Nimejaribu google naona inanizingua tu.
Asanteni wakuu
Kwa sasa niko schengen huku nafanya kakozi fulani sasa nataka kwenda Tanzania december kwa xmas.Hapa nilipo the cheapest flight ina cost kama USD 1200 round trip.Sasa nilikuwa naomba kama kuna mtu ambaye kule anakoishi(schengen) kuna ndege za bei nafuu kidogo lets say less than 1000USD basi anijulishe.Nimejaribu google naona inanizingua tu.
Asanteni wakuu