mrs fiance
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 352
- 163
Habari wana ndugu kuna picha naonaga huku kwenye mitandao zinatoka vizuri na vitu ambavyo havihisiani na image inayokusudiwa hufifia na kubaki kitu kilichokusudiwa tu kinaonekana vizuri.
Je ni huwa wanatumia camera gani mfano wasaniii
Je ni huwa wanatumia camera gani mfano wasaniii