msaada Burn Data CD

Viper

JF-Expert Member
Dec 21, 2007
3,667
1,400
jamani kila nikijaribu ku burn CD R , mwisho natapata msg kuwa burning went successfully lakini nikirejea kwenye CD ni empty nikijaribu kuifungua window inaniambia ni format.

Nimetumia Nero mambo ni yaleyale tatizo ni nini...?

naumia window 7 ultimate 32 bits service park 1
version number 6.1.7601 multiprocessor free

Processor info. Intel (R) Celeron (R) CPU 520 @ 1.60GHz
RAM 1.50 gb

hp (compaq) presario c 500

N;B- naweza kusoma CD, DVD`s kama kawaida .. tatizo ni kwenye ku burn tu! msaada wenu
 
jamani kila nikijaribu ku burn CD R , mwisho natapata msg kuwa burning went successfully lakini nikirejea kwenye CD ni empty nikijaribu kuifungua window inaniambia ni format.

Nimetumia Nero mambo ni yaleyale tatizo ni nini...?

naumia window 7 ultimate 32 bits service park 1
version number 6.1.7601 multiprocessor free

Processor info. Intel (R) Celeron (R) CPU 520 @ 1.60GHz
RAM 1.50 gb

hp (compaq) presario c 500

N;B- naweza kusoma CD, DVD`s kama kawaida .. tatizo ni kwenye ku burn tu! msaada wenu

Chunguza kama dvd ROM yako ina mechanism ya kubani kwakuwa si kila dvd rom inaweza kufanya kazi hiyo
Pili nero ipi unatumia? Inawezekana tatizo liko kwenye nero maana naona computer yako si mbaya sana
Tatu Uninstall na uinstall tena hiyo nero, nero 6 na 7 ni nzuri sana
Nne ni vyema ueleze cd unaiburn kama nini (mp3, data, vcd, audio cd, pictures nk)
Mimi nina manero ya kumwaga sema tu namna ya kukuattachia ndo ina kuwa issue
 
Chunguza kama dvd ROM yako ina mechanism ya kubani kwakuwa si kila dvd rom inaweza kufanya kazi hiyo
Pili nero ipi unatumia? Inawezekana tatizo liko kwenye nero maana naona computer yako si mbaya sana
Tatu Uninstall na uinstall tena hiyo nero, nero 6 na 7 ni nzuri sana
Nne ni vyema ueleze cd unaiburn kama nini (mp3, data, vcd, audio cd, pictures nk)
Mimi nina manero ya kumwaga sema tu namna ya kukuattachia ndo ina kuwa issue
Kama alivyosema mkuu ni sawa ila kwenye hiyo nero angalia kitu kinachoitwa image burning kama ukikiona kibadili na option inayofuata.
 
Untitled.jpg
Ebu angalia proparties zake kama ni nero ambayo si 7 au 6 huwa zinazingua sana. Pia kuwa makini na selection ya data unayoingiza kwenye cd husika. Lingine na aina ya cd inamata sana. Kuna za Kichina kinoma kaka. Ukienda kariakoo unapigwa tu. Afu angalia kama hiyo cd ni + au -.
 
View attachment 33599Ebu angalia proparties zake kama ni nero ambayo si 7 au 6 huwa zinazingua sana. Pia kuwa makini na selection ya data unayoingiza kwenye cd husika. Lingine na aina ya cd inamata sana. Kuna za Kichina kinoma kaka. Ukienda kariakoo unapigwa tu. Afu angalia kama hiyo cd ni + au -.
what is the difference btn cd + and -
 
Chunguza kama dvd ROM yako ina mechanism ya kubani kwakuwa si kila dvd rom inaweza kufanya kazi hiyo
Pili nero ipi unatumia? Inawezekana tatizo liko kwenye nero maana naona computer yako si mbaya sana
Tatu Uninstall na uinstall tena hiyo nero, nero 6 na 7 ni nzuri sana
Nne ni vyema ueleze cd unaiburn kama nini (mp3, data, vcd, audio cd, pictures nk)
Mimi nina manero ya kumwaga sema tu namna ya kukuattachia ndo ina kuwa issue

1) wakati nipo na window Vista nilikuwa niki burn kama kawaida

2) natumia nero 7 premium edition

3) ndiyo ninayo tumia

4) na burn data CD

5) Ahsante mimi pia ninazo

P.S nimejaribu ku burn music kutumia window media player matokeo ni yaleyale... CD inamaliza inajitoa kuonesha process completed successfully nikiingiza inasoma empty! hamna kitu ndani
 
View attachment 33599
Ebu angalia proparties zake kama ni nero ambayo si 7 au 6 huwa zinazingua sana. Pia kuwa makini na selection ya data unayoingiza kwenye cd husika. Lingine na aina ya cd inamata sana. Kuna za Kichina kinoma kaka. Ukienda kariakoo unapigwa tu. Afu angalia kama hiyo cd ni + au -.

ni sony CD- R kwenye computer ya rafikiyangu ina burn kama kawaida
 
1) wakati nipo na window Vista nilikuwa niki burn kama kawaida

2) natumia nero 7 premium edition

3) ndiyo ninayo tumia

4) na burn data CD

5) Ahsante mimi pia ninazo

P.S nimejaribu ku burn music kutumia window media player matokeo ni yaleyale... CD inamaliza inajitoa kuonesha process completed successfully nikiingiza inasoma empty! hamna kitu ndani

Ebu fanya backup ya data zako na uondoe hiyo OS maana itakuwa haiko sawa, au ifnyie repair mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom