Msaada: Bundle ya chini kabisa ya vodacom na jinsi ya kujiunga.

Wakuu hivi hizi bundle za cheka si ni kwa mobile phone pekee?
Au nawao hawa bani kama Airtel bundle ya simu unaweza tumia kwa modem pia


Pia naomba kujua, je kunautofauti wa speed kati ya Bomba7 na SPIDI7
kwa mimi sijawahi tumia cheka internet kwenye modem so am not sure ila nadhani zinafanya kazi maana ishu ni line yako tu..(ukiiweka kwenye simu unasurf kama kawaida na ukiweka kwenye modem pia una surf kama kawaida kwa kutumia bundle hiyohiyo) mi nilishawahi jaribu kuweka line yangu kwenye simu kutoka kwenye modem baada ya kuinguanisha na bomba 7 na nikawa naitumia kotekote mpaka ilipoisha bila kukata salio langu la kawaida...So nadhani kwa cheka internet ni hivyohivyo tu..!

Tofauti ya bomba 7 na spidi 7 ni kuwa bomba seven unapewa unlimited bandiwidth ila kwa kuanza unapewa bandiwth ya 700mb nadhani kwa spidi kubwa (zaidi ya 64kbps) utumie utakavyo (ukimaliza kwa siku moja au wiki haijalishi) ila ikishaisha bado unakuwa unaendelea kutumia internet kama kawaida (hata kudownload) ila tu sasa wanadai wanalimit spidi kwenye 64kbps (ingawa nahisi huwa inazidi apo) kwa mda wote uliobaki mpaka imalize(kama ni bomba 7 utatumia hivyo kwa siku saba na bomba 30 mpaka siku 30 ziishe) halafu ndo wanastopisha bundle yako.. SPIDI 7 ni kama bomba 7 ila tu zikisha isha zile MB za awali(ambazo hapa ni 1GBsasa) zenye spidi kubwa wanafunga so mpaka ujiunge tena na haijalishi utatumia mda gani(ukiweka leo ikiisha leo basi inabidi ujiunge tena)...
kwa maelezo zaidi : http://www.vodacom.co.tz/products--services/internet-services/vodacom-internet-bomba

 
but AM DOING IT NOW...natamani ningekuhakikishia hili...
ikiwa spidi inadondoshwa hadi kufikia 64KB per second. basi maana yake ni:
kwa dakika 64 x 60
kwa saa ni 64 x 60 x60
kwa siku ni 64 x 60 x60 x 24
kwa wiki ni 64 x 60 x60 x 24 x 7
kwa mwezi 64 x 60 x60 x 24 x 30 = 165888000 KB ambayo ni sawa na GB 165 au 165 GB za microsoft au 165888000 /1024/1024 za IEEE. au 158 GB za IEEE.
kwa hiyo inawezekana ila uwache computer usiku na mchana bila kuzima wala mgao wa umeme ndio utaweza kupta 158GB.
 
ikiwa spidi inadondoshwa hadi kufikia 64KB per second. basi maana yake ni:
kwa dakika 64 x 60
kwa saa ni 64 x 60 x60
kwa siku ni 64 x 60 x60 x 24
kwa wiki ni 64 x 60 x60 x 24 x 7
kwa mwezi 64 x 60 x60 x 24 x 30 = 165888000 KB ambayo ni sawa na GB 165 au 165 GB za microsoft au 165888000 /1024/1024 za IEEE. au 158 GB za IEEE.
kwa hiyo inawezekana ila uwache computer usiku na mchana bila kuzima wala mgao wa umeme ndio utaweza kupta 158GB.

huu udadavui ulioufanya upo sahihi kabisa ila kumbuka hiyo 64 kbps sio mda wote huwa inakuwa hivyo (haipo constant at 64) kuna mda inazidi hata mara mbili ya hiyo na wakat mwingine hufiki hata robo yake.. isitoshe kwenye torrents kuna trick nyingi sana za kucheza na settings na unapata zaidi ya 150kbps (i always get up to that baada ya kuset)...na kama ulivyosema natumia desktop yenye UPS na huwa naiacha wazi mda wote unless umeme ukatike kwa mda mrefu au mtu mwengine aje azime bahati mbaya...apart from that...i can download anything i want and i have (leo namalizia ku download fifa manager 08 baada ya kumaliza za 2006, 07, 09, na 11 last wiki ukiondoa muvies za Armeggedon, stealth,5days of war na war in los angeles zote last week..hao sijahesabu vidude vingine ambavyo nadownload bila torrent na sijui wengine wanadowload nini!!! )siisifii voda ila i like this!!!
 
Sasatel ni rahisi kwa bando ndogo,1.5gb kwa tsh 7500 speed kali tu na ukimaliza una re activate,airtel ya 2500 ni nzuri kwa ku brose na kuchat kwa wasio heavy users,mimi huwa nakamaliza within 30 mins,voda wana service nzuri,hiyo ya wiki na mwezi i.e bomba,tigo siku hizi wanachemka,spid si nzuri,naona wamezidiwa,zantel wazuri ila tatizo lao ni ma limit kibao,mi naona watumiaji wa kawaida wa internet wanaona ni rahisi ila KWANGU NAONA GARAMA NI GHALI KWA KILA MTANDAO,MAANA MIMI NATUMIA HADI 2.5GB KWA SIKU KWA HIYO NI GHARAMA.
 
Sasatel ni rahisi kwa bando ndogo,1.5gb kwa tsh 7500 speed kali tu na ukimaliza una re activate,airtel ya 2500 ni nzuri kwa ku brose na kuchat kwa wasio heavy users,mimi huwa nakamaliza within 30 mins,voda wana service nzuri,hiyo ya wiki na mwezi i.e bomba,tigo siku hizi wanachemka,spid si nzuri,naona wamezidiwa,zantel wazuri ila tatizo lao ni ma limit kibao,mi naona watumiaji wa kawaida wa internet wanaona ni rahisi ila KWANGU NAONA GARAMA NI GHALI KWA KILA MTANDAO,MAANA MIMI NATUMIA HADI 2.5GB KWA SIKU KWA HIYO NI GHARAMA.

ngojea akusikie uncle RUKUs unaiponda na kuishusha hadhi tigo yake.....
 
Back
Top Bottom