Msaada: Bei ya Dstv

nakumbuka ilikuwa shs 149000.....sijui kama imepanda...
 
Hiyo bei ndo ya dikoda? Nahitaji bei ya kuinunua si ya packages

huwezi kununua decoder bila package......na hizo package pia inategemea.......ukinunua ya 16k unalipia kwa miezi 4......inavyopanda na miezi inapungua.....so mwisho wa siku kukata mzizi wa fitna ni bora ununue decoder na package ya 128k ambayo unalipia kwa mwezi huo then ikiisha unaweza kuendelea na package za kawaida........
ki ufupi DSTV ni anasa.......
 
ki ufupi DSTV ni anasa.......[/FONT][/SIZE][/COLOR][/QUOTE]

Siamini hivyo Preta! Loh ila ukisha izowea huwezi Acha lipia huo ndo ukweli
 
ki ufupi DSTV ni anasa.......[/FONT][/SIZE][/COLOR]

Siamini hivyo Preta! Loh ila ukisha izowea huwezi Acha lipia huo ndo ukweli[/QUOTE]

hizo ndio anasa sasa........
 
ki ufupi DSTV ni anasa.......

Duh aisee.. Anasa!! Yaani ni bora kulipia dstv nibaki nyumbani kuliko kwenda kuangalia mpira bar mwezi m1 namaliza karibu 300. Si anasa kabisa! Ni njia ya kupunguza expenses

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwa kenya naona jamaa wanatoa fta local channels za kutosha,vipi kwa hapa kwetu kuna local channels ngapi?
 
Kwa kenya naona jamaa wanatoa fta local channels za kutosha,vipi kwa hapa kwetu kuna local channels ngapi?

Huko kenya kuna kitu kimeanzishwa kinaitwa go-tv ambayo subsidiary ya dstv na ndio maana wanapata local channels kwa wingi. Huku pia itaanzishwa. Kwa sasa ni TBCCM pekee inayopatikana
 
decoder unanunua pamoja na package ukinunua ile ya 169k inamaana hapo unalipia family package ya miezi nne
pia zipo premium ambazo ni 128k kwa mwezi mmoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom