Wakuu msinichoke na kuomba misaada.
Wakuu nimendika programu kwenye xlinx na nimejaza kwenye CPDL system sasa nataka microcontroller 8051 ndio iwe generator ya kuzi jaza port nilizo kwenye CDPL.
Hivyo nataka kuandika ka program kafupi ktk microcontroller 8051 ambako katakua kanezipeleka kwenye external port za 8051 na hapo ndipo naunganisha CPDL yangu.
Mfano kuandika assembler kwenye interna port inakua-
org 1000h
mov p1,#3
end
sasa kwenye external port inakua je? mwenye ujuzi naomba anaiandikie jinsi ya ku move hiyo 3 kwenye external port.
ASANTENI wote.
Wakuu nimendika programu kwenye xlinx na nimejaza kwenye CPDL system sasa nataka microcontroller 8051 ndio iwe generator ya kuzi jaza port nilizo kwenye CDPL.
Hivyo nataka kuandika ka program kafupi ktk microcontroller 8051 ambako katakua kanezipeleka kwenye external port za 8051 na hapo ndipo naunganisha CPDL yangu.
Mfano kuandika assembler kwenye interna port inakua-
org 1000h
mov p1,#3
end
sasa kwenye external port inakua je? mwenye ujuzi naomba anaiandikie jinsi ya ku move hiyo 3 kwenye external port.
ASANTENI wote.