Ofisi za Water Mission, nimeitwa kwenye Usaili

mwasambili

Senior Member
Oct 28, 2013
151
77
Heshima wanajamii forums,
tafadhali naomba kuelekezwa zilipo ofisi za water mission,sababu nimeitwa kwa ajili ya interview

natanguliza asante
 
Mkuu,samahani naomba kujua hivi hiyo interview ulitaarifiwa kwa njia gani!! Kama walikupigia simu kwa nini usingeomba maelekezo ya kufika ofisi zao!!
Ninavyojua mimi ukiitwa interview lazima wakupe information za kutosha ikijumuisha maelekezo ya sehemu ofisi ilipo...Hata hivyo subiri wanaoijua wakufahamishe.
 
Mkuu,samahani naomba kujua hivi hiyo interview ulitaarifiwa kwa njia gani!! Kama walikupigia simu kwa nini usingeomba maelekezo ya kufika ofisi zao!!
Ninavyojua mimi ukiitwa interview lazima wakupe information za kutosha ikijumuisha maelekezo ya sehemu ofisi ilipo...Hata hivyo subiri wanaoijua wakufahamishe.
umemjibu vyema mkuu
 
huyo hadi hapo ameishafeli interview maana sifa kubwa ya kuchukuliwa kwenye interview ni kujiamini pale unapoambiwa jambo na kuuliza inapobidi....na unapofanyiwa usahili ina maana unaulizwa maswali na kwa upande wako kuonyesha uko fiti ni kuuliza maswali ili kukuongezea credit za kuonyesha unajiamini.....
sasa kama ulipigiwa simu ukaambia uende interview ukakubali na hatimaye mkamaliza maongezi bila kuuliza hicho ulichokiuliza hapa Jamii forum basi jua haujiamini na interview utafeli hata kama ukienda maana haujui ni mbinu gani ya kumshawishi anayetaka kukuajiri.....pole sana maana ndo matatizo ya kusoma kwa kukalili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom