Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Nimewahi kusikia kuwa kuna namba unaweza kuingiza kwenye simu kwakulenga namba fulani ikikupigia usipatikane na unaweza ukaitoa na baadae akikupigia ukapatikana.
kama kuna mwana jf anaijua naomba anisaide
kama kuna mwana jf anaijua naomba anisaide