Msaada ...Ajira..

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Wadau...
Naomba kufahamishwa aina za ajira ambazo mhitimu wa shada ya Social Work aweza zifanya katika sekta tofauti na serikalini...
Serikali inajua ila yafumbia macho umuhimu wa wataalam hawa na madhara tushayaona kuanzia ngazi za familia, mashulesi,vyuoni, na kwingine kwingi..
Nchi zilizoendelea wanajua sana umuhimu wa wataalam hawa..
Msaada tafadhali...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom