Unapata vitu gani na kwa kiasi gani?
145 mins airtel-airtel, 5 mins to all networks 1GB, 1000sms
how many times do u really want to see the goose being killed ?
Iko wapi hapo au umekurupushwa?
Huduma nyingone zimekaa kibaguzi tu!
Kwa mfano unaishi shinyanga mkoa ambao hauna chuo kikuu hata kimoja unafanyaje sasa? Ina maana yakubidi ukwee mombasa raha hadi mwanza kujiinga ndo upate huduma hii?? Du ama kweli baadhi ya huduma ni za kibaguzi balaaaaaa
Huduma nyingone zimekaa kibaguzi tu!
Kwa mfano unaishi shinyanga mkoa ambao hauna chuo kikuu hata kimoja unafanyaje sasa? Ina maana yakubidi ukwee mombasa raha hadi mwanza kujiinga ndo upate huduma hii?? Du ama kweli baadhi ya huduma ni za kibaguzi balaaaaaa