Vipi ukitaka MBC's ambazo zipo ktk BADR4 26 E/KU BAND,utatakiwa kuwa na dish size gani? Na je kwakuwa ni FTA then unaweza kutumia receiver hz za kawaida eg Srt,mediacom?
abudhabi sport kwa mwaka ni dola 119 za kimarekani sawa na kama sh 180,000 kwa mwaka na kama sh 15,000 kwa mwez
Watakupa card yao ambayo ndo unaingiza kwenye decoder. Gharama za abudhabi sport zinakuja kwenye kuipata mara ya kwanza kwa sababu hii ni kwa ajili ya nchi za kiarabu tu. Itataka dishi na decoder na installation ya mara ya kwanza.
Kutokana na maelezo ya kwenye website yao card yao inakubali decoder za aina hii hapa
-Humax ICORD H
Humax IR2000
Humax IR 1100
so kama una dikoda ya style hio utapunguza cost kwa kununua kifurush tu bila decoder na dish zao
Kwa maelezo zaidi vizuri mtembelee website yao hii hapa
abudhabi network
Hope mumepata mwanga kidogo
mambo poa,,kuhusu abudhabi decoder usitie shaka,,nitakufanyia kwa 750000 full instalation,,,call me 0715/0756/0787-966540,,,
abudhabi sport kwa mwaka ni dola 119 za kimarekani sawa na kama sh 180,000 kwa mwaka na kama sh 15,000 kwa mwez
watakupa card yao ambayo ndo unaingiza kwenye decoder. Gharama za abudhabi sport zinakuja kwenye kuipata mara ya kwanza kwa sababu hii ni kwa ajili ya nchi za kiarabu tu. Itataka dishi na decoder na installation ya mara ya kwanza.
Kutokana na maelezo ya kwenye website yao card yao inakubali decoder za aina hii hapa
-humax icord h
–humax ir2000
– humax ir 1100
so kama una dikoda ya style hio utapunguza cost kwa kununua kifurush tu bila decoder na dish zao
kwa maelezo zaidi vizuri mtembelee website yao hii hapa
abudhabi network
hope mumepata mwanga kidogo
dish ni cm 135 na kuendelea. Unatakiwa huwe na risiva ya mpeg 4 hd .mbc ni chanel za kulipia mkuu