KEDIAY-MANGUSHA
Member
- Jun 26, 2011
- 13
- 2
Jana jion majira ya saa 11, mmoja wa wana CCM aliyechukua fom za kugombea ubunge,mtoto wa marehem sumar kwa jina la sioi alifika nyumban kwa pasta anayeitwa emanuel maturo kijijin maji ya chai karib na shule ya msingi. Alikutana na zaid ya makada 30 kutoka kata ya maji ya chai. Agenda ilikuwa ni posho ili aweze kuchaguliwa.