Nimetumiwa CV ya Prof. Maji Marefu kutoka kwa mpiga kura wake ambaye hakutaka jina lake litajwe ili asije wehuliwa na Mb huyo. Nayo iko hivi:
Jina kamili: Steven Hilary Ngonyani a.k.a Prof. Maji Marefu
Alikozaliwa: Shamba Kapori, Mruazi Kata ya Mnyusi, Wilaya ya Korogwe
Asili yake. Mngoni. Wazazi wake walikuja kama Manamba Mashamba ya Mkonge.
Elimu: Aliishia darasa la 4 kwa kukosa ada ingawa anadai kafika darasa 7
Uzoefu wa kazi: kulima miraba mkongeni, kucheza goroli, kupiga ndege kwa manati, kuchezesha mazingaombwe hasa shule za msingi.
Dini: Mkristo lakini ana wake 4.
Kiini cha kuchaguliwa: Kumwaga pesa kwa zaidi ya miaka 3 kabla ya uchaguzi, kugharimia mazishi na shereha kabla ya uchaguzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.