Ukweli ni huu hapa.... Baada ya kutoka Free State Ngassa akaenda UARABUNI KLABU YA FANJA..... Sasa kama kasajiliwa na Mbeya City mtoa post anatakiwa aseme KATOKEA FANJA KWENDA MBEYA CITY SIO KATOKEA FREE STATE.... TATIZO WANAMUAMINI MNO KUMWEMBE KILA ANACHOPOST WANAOKOTA KAMA KILIVYO WANALETA..... NGASSA NI MCHEZAJI WA FANJA FC....Duuuuh sasa ukweli ndio upi?Naona watu wanatukanana tu hapa.
mbona sini mkatba nahapo hapaoneshi kama ni mbeya ama kijiwe fulani huenda kiko umangani.......ni uchokozi tu
mbona sini mkatba nahapo hapaoneshi kama ni mbeya ama kijiwe fulani huenda kiko umangani.......ni uchokozi tu
Mkuu una undugu na Ngassa sio kwa povu hiloUkweli ni huu hapa.... Baada ya kutoka Free State Ngassa akaenda UARABUNI KLABU YA FANJA..... Sasa kama kasajiliwa na Mbeya City mtoa post anatakiwa aseme KATOKEA FANJA KWENDA MBEYA CITY SIO KATOKEA FREE STATE.... TATIZO WANAMUAMINI MNO KUMWEMBE KILA ANACHOPOST WANAOKOTA KAMA KILIVYO WANALETA..... NGASSA NI MCHEZAJI WA FANJA FC....
Sina undugu.... Nanyoosha ukweli tu....Mkuu una undugu na Ngassa sio kwa povu hilo
Mkuu basi subir mzunguko wa pili uje ufute hizi comments zakoSina undugu.... Nanyoosha ukweli tu....
Mkuu basi subir mzunguko wa pili uje ufute hizi comments zako
Wanakosa mademu wa kibongo na chips mayaiWachezaji wa kibongo kama wamerogwa vile, sijui nje wanakosa nini,
KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Mrisho Khalfan Ngassa amesema kwamba yeye ni mchezaji halali wa Fanja ya Oman na alirejea nyumbani kwa ruhusa maalum.
Aidha, Mrisho Ngassa ameshangazwa na habari kwamba yeye amesaini Mbeya City na akasema alikutana na Ofisa Habari wa timu hiyo, Dismass Ten katika mazungumzo ya kawaida na haikuhusu usajili.
“Alinipigia simu Ofisa Habari wa Mbeya City, tunafahamiana. Tukakutana kwa mazungumzo na kupiga picha tukiwa kwenye mgahawa. Baada ya hapo tukaachana, sijasaini Mbeya City,”alisema.
Mrisho Khalfan Ngassa amesema kwamba yeye ni mchezaji halali wa Fanja ya Oman na alirejea nyumbani kwa ruhusa maalum
Ngassa alisema kwamba yeye kama mchezaji soka ni ajira yake na anaamini anaweza kucheza popote wakati wowote, lakini haipendezi kuandikwa mambo ambayo si ya kweli juu yake.
“Inakuwa vizuri inapoandikwa nimesaini timu, wakati nimesaini kweli. Lakini si kusema nimesaini Mbeya City wakati sijasaini. Naiheshimu Mbeya City. Ni timu nzuri na napenda kuichezea siku moja hususan kwa sababu kocha wao, (Kinnah Phiri) nimewahi kufanya naye kazi. Lakini itakuwa vizuri iandikwe nimesaini wakati nimesaini. Kwa sasa napenda ieleweke sijasaini,”alisema.
Mchezaji huyo wa zamani wa Azam, Simba na Yanga amesema tayari amekwishakamilisha kilichomrudisha nyumbani na sasa anasubiri kutumiwa tiketi arudi kazini Oman.
“Mimi nilikuja huku kwa ruhusa maalum kwa ajili ya mambo ya kifamilia. Na baada ya kukamilisha mambo yangu, nimewatumia taarifa Fanja ili wanitumie tiketi nirejee kazini, kwa hiyo ninawasubiri wao,”alisema Ngassa.
Source: binzubeiry
Kuna watu ni wasengerema sana... Ngassa yupo arabuni Muda mrefu... Yupo na Maguri.... Jitu limekurupuka tu.... Ovyo kabisa
Chips zege kule hakuna + viroba pamoja na yale madude wanawekaga chini ya mdomo. (Longido or Goziba)Wachezaji wa kibongo kama wamerogwa vile, sijui nje wanakosa nini,