Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Hivi huyu jamaa ni mpiganaji wa kweli?
Anatumika sana kwenye matangazo ya kukemea utawala mmbovu.
Matangazo ya kuhimiza watu wakapige kura
matangazo ya kupambana na ukimwi. n.k n.k.....
La kushangaza sijaona CCM wakimtumia kwenye campaign zao kama walivyo wasanii wengine maarufu ambao tunaona wanazunguka na mkulu Kila Aendapo kwenye campaign.
Wengi tunafahamu nguvu ya huyu jamaa katika uhamasihaji.
Nimesikia Tetesi kuwa katika nyimbo zake huwa anaiponda CCM kimafumbo ndio maana hawamtumii katika Campaign zao. Hapa kuna ukweli?
Anatumika sana kwenye matangazo ya kukemea utawala mmbovu.
Matangazo ya kuhimiza watu wakapige kura
matangazo ya kupambana na ukimwi. n.k n.k.....
La kushangaza sijaona CCM wakimtumia kwenye campaign zao kama walivyo wasanii wengine maarufu ambao tunaona wanazunguka na mkulu Kila Aendapo kwenye campaign.
Wengi tunafahamu nguvu ya huyu jamaa katika uhamasihaji.
Nimesikia Tetesi kuwa katika nyimbo zake huwa anaiponda CCM kimafumbo ndio maana hawamtumii katika Campaign zao. Hapa kuna ukweli?