Kakuambia nani?hiyo ni yake mpoto mwenyewe na tamaa zake za fisiHiyo aibu ya Jk
Kakuambia nani?hiyo ni yake mpoto mwenyewe na tamaa zake za fisiHiyo aibu ya Jk
Unajua wakati mwingine njaa isitufanye tukawa vichaa, sasa unaenda kujitambulisha wewe ni mkenya wakati ni mtanzania? Huu ni upumbavu.
Inauma sana ndugu,
Mimi nimekuwa nikiwafunza wakenya wengi sana kiswahili, na wanasema wazi kuwa wao walikuwa hawakijui vema!
Dah hatari kwelikweliMpoto na utetezi wa kitoto, Eti alijua anaiwakilisha Tanzania mpaka alipoingia stejini na kupigiwa wimbo wa Taifa wa Kenya ndio akastuka.
Uko wapi uzalendo wa mtz huyo? Thamani ya mang'amuzi yake huru iko wapi? Inasikitisha sana na inahuzunisha!
Siilaumu Ikulu lakini moja kwa moja lawama nazitua kwa Mpoto nilieamini ni mmoja ya wazalendo wa kweli duniani na ambae damu yake yaweza kuwa chocheo la waliogizani! Hakika ametutweza kimsonge na majuto ni sasa,
HIMA turejee kizalendo itupasavyo!
Ili uwe mzalendo wa kweli ni lazima uifie nchi yako sio kuukana utaifa wako kwa mizania ya Ikulu
anafanana nao zile sura za mpoto TZ hatuna!sura nzito kama zile Kenya zipo nyingi
mweeee kweli life imekuwa tight mtu anaukana utaifa wake khaaaa\
cjui kama tutafika?