Huyo bibi ni mwanasiasa?Ama ndege yake ni yakisiasa?
Hao ndio hasa taswira angavu ya wana ccm ambao kila mara jk anapobanwa kisawasawa hukimbilia kwao yap ndio wazee wa ccm hao!! Hivi hujiulizi ni kwa nini ccm wanakubalika zaidi maeneo mengi yenye viumbe wa aina hiyo? Sababu ni moja. Ccm ni mtaji kwao. Na wao ni mtaji kwa ccm. Ooh sjui wazee wa dar mara. Wazee wa wapi sijui shtuka. Giza ni kwa ajili ya usiku. Hapo mwanga hauna nafasi katu.