LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,106
- 27,087
Mrembo Eduarda Ferais ( 19 ) amesema ana vutiwa sana na makalio ya mama ake mzazi na anatamani siku moja na yeye makalio yake yangekuwa na muonekano kama makalio ya mama ake.
Eduarda ameyasema hayo juzi jijini Rio De Janeiro Brazil kwenye uzinduzi wa shindano la MISS BUMBUM ambalo ni shindano la kumtafuta mwanamke mwenye makalio mazuri na yanayo vutia nchini Brazil
Mama mzazi wa Eduarda , aitwaye Bruna Ferraz mwenye umri wa miaka 35, yeye pia ni mshiriki wa shindano hilo.
CHANZO : DAILYMAIL.CO.UK