Elections 2010 Mrembo na Kampeni kwa JK...!!

jambo1

JF-Expert Member
Jul 5, 2009
241
29
Wadau...Mlimuona huyu dada jinsi Alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia JK..siku ya Shindano la Miss Tanzania...!
I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
Ni Genevive Mpangala
 
hee ndo akaome na kihere here chake hata JK mwenyewe hamjui, imekula kwake huyo
 
Kuna member mmoja hapa ndani jana alinichekesha aliposema kwamba hata majaji walithibitisha kwamba hawaipendi kabisa ccm baada ya kumtupilia mbali mrembo huyo!
 
Yaliyotokea pale ni kuwa mrembo alikuwa anajua kuwa akimtaja JK basi anachukua taji bila kujua kuwa watu wamechoka na CCM ya huyo huyo JK.Natumai JK amchukue kwenye msafara wake amsaidie kupiga kampeni
 
Yaliyotokea pale ni kuwa mrembo alikuwa anajua kuwa akimtaja JK basi anachukua taji bila kujua kuwa watu wamechoka na CCM ya huyo huyo JK.Natumai JK amchukue kwenye msafara wake amsaidie kupiga kampeni

Atampa u DC ili iwe rahisi KUMUONA, tehe tehe tehe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Anaweza kuteuliwa kachukua nafasi ya januari makamba :becky::becky::becky::becky::becky:
 
Angepewa taji la miss zuzumagic..
Lingemfariji na kumpa picha halisi kuwa yeye ni nani na anastahili nini.
wadau...mlimuona huyu dada jinsi alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia jk..siku ya shindano la miss tanzania...!
I think angekuwa na akili angeweza kuibuka hata na taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
ni genevive mpangala
 
makamba angekuwa jaji ungesikia nimeyatupilia mbali mayowe ya watanzania narudia tena ninayatupilia mbali mayowe kwa maana hayana msingi
 
hee ndo akaome na kihere here chake hata JK mwenyewe hamjui, imekula kwake huyo

ha ha ha,

Akome kiherehere la sivyo atapata mimba na kisha kulazimika kwenda shule matiti yakichuruzika maziwa
 
Wadau...Mlimuona huyu dada jinsi Alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia JK..siku ya Shindano la Miss Tanzania...!
I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
Ni Genevive Mpangala

Mkuu, you never know. Aisifiaye mvua huenda imemnyea, maana siku hizi mambo ya kusafisha fimbo na vimwana wa VODA ndo fasheni....muulize waziri wa nanii ...wa naniii au Iskarioti.
 
Wadau...Mlimuona huyu dada jinsi Alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia JK..siku ya Shindano la Miss Tanzania...!
I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
Ni Genevive Mpangala

JK akishinda atakuwa DC wa Ilala!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom