jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Wadau...Mlimuona huyu dada jinsi Alivyozomewa baada ya kuanza kumkampenia JK..siku ya Shindano la Miss Tanzania...!
I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
Ni Genevive Mpangala
I think angekuwa na Akili angeweza kuibuka hata na Taji lile ila kilichomponza ni kutosoma alama za nyakati...!
Soma zaidi..
Ni Genevive Mpangala