LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
She iz veri veri Kiute aisee! Infwaktli!!eep:
Siku chache baada ya kuingia kwenye mjengo wa Bunge kuwawakilisha wananchi wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi Sugu ameiteka akili ya Miss Pwani 2010, Zaynab Ally, mrembo mwenyewe amekiri katika mahojiano na gazeti la ijumaa duh huyu mtoto mapema hivi ameanza kujikombaa kwa mheshimiwa Sugu...
Mh, huyo ndo mrembo mbona hata sugu mwenyewe kamzidi kwa uzuri ,wasidhalilishe jina la urembo basi jamani.
Huyo mnembo mbona anaonesha ana "safura" duuuuuuu
Ukiitizama picha kwa karibu utagundua ana kakikwapa kakali sana, anafanana na Betina wa Gazeti la Sani
haki ya nani nimecheka mpaka bac....watu mna madongo ya kutosha....lol, kaka umefanya niianze cku kwa raha.
Siku chache baada ya kuingia kwenye mjengo wa Bunge kuwawakilisha wananchi wa Mbeya Mjini, Mhe. Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu' ameiteka akili ya Miss Pwani 2010, Zaynab Ally, mrembo mwenyewe amekiri katika mahojiano na gazeti la ijumaa duh huyu mtoto mapema hivi ameanza kujikombaa kwa mheshimiwa Sugu...
Yeah Sugu hadi sasa ni bachelor so warembo watajikomba kinoma, hata Mh. Zitto nae single pia...